Mbunge wa Jimbo la Mtama,Mh Nape Nnauye akiwasili katika
kikao cha kati yake na wazee wa Mtama kikilchofanyika kwenye ukumbi wa Kanisa Katoliki
kijiji cha Majengo A huku akiwa ameongozana na Katibu Msaidizi wa Wilaya ya
Lindi Vijijini Bw. Shaibu Bakari NgaticheBaadhi ya wazee wakimsikiliza Mbunge wa jimbo la Mtama Mh. Nape Nnauye wakati akizungumza nao leo.
Mbunge wa jimbo la Mtama,Mh Nape Nnauye akizungumza na wazee wa Mtama leo kwenye ukumbi wa kianisa Katoliki Kijiji cha Majengo A.
MWISHO.



Hakuna maoni:
Chapisha Maoni