Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha kukamua mafuta ya kula cha Meru kilichopo mjini Singida, Desemba 12, 2017. Watatu kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mkurugezi Mkuu wa
makampuni ya Meru, Bw. Atul Mittal kuhusu mafuta ya kula yanayozalishwa na
kiwanda cha Meru cha Singida mjini wakati alipotembelea kiwanda hicho
Desemba 12, 2016

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni