
Hayo yalisemwa na Afisa Habari wa Mamlaka ya Bandari Mkoani
Tanga Moni J. Msemo katika maonyesho ya kimataifa yaliyofanyika Mkoani Tanga katika viwanja va mwaako.

Pia aliwataka watanzania na wakazi wa Mkoa wa Tanga kuhusubiri
mradi huu kiujuzi kwa kuingia vyuo mbalimbali ili kujipatia mafunzo yatakayo wasaidia
kupata ajira kwenye mradi huo.
“Moni alisema, mradi huu mkubwa utatoa ajira za ufundi uendeshaji
vyombo mbalimbali vya mradi, lakini fursa hii itagusa watu wote Mkoani Tanga
ikiwa ni pamoja na Mama ntilie, Wenye Hotel hata wauzaji Vyakula pamoja na Wakulima”
alisema moni.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni