katika begi akisafiri kutoka Karatu kuelekea Dar es Salaam.
Jambazi hilo liliuwawa na polisi wakati aliporuka kwenye
gari kujaribu kuwatoroka.
Jeshi la polisi Mkoani Tanga limeongeza ulinzi na operesheni
kukabiliana na watumiaji silaha bila kibali ,uhalifu, upitishaji wa wahamiaji
haramu na bidhaa za magendo.
Jeshi hilo limefanikiwa kukamata silaha na watuhumiwa wa
uhalifu wa matukio mbalimbali ya uvunjifu wa amani.
Pia kamanda amewataka wananchi na wakazi wa Mkoa
wa Tanga kutoa taarifa za kufichua vitendo viovu katika jamii.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni